iqna

IQNA

Bashar al Assad
Uchambuzi
TERHAN (IQNA)- Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Kiarabu walikubaliana katika mkutano wao waliofanya Jumapili tarehe 7 Mei mjini Cairo kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), baada ya kusimamishwa uwanachama wake kwa muda wa takriban miaka 12.
Habari ID: 3476982    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09

Idul Adha
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Syria Bashar al-Assad alishiriki katika sala ya Idul-Adha huko Aleppo Jumamosi.
Habari ID: 3475481    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/09

TEHRAN (IQNA) –Rais Bashar al Assasd wa Syria amesema Marekani inahitaji uwepo wa magaidi, hasa wa ISIS, katika eneo la Asia Magharibi na imetumia vikwazo vya hivi karibuni dhidi ya Syria ili kuwaunga mkono magaidi.
Habari ID: 3473067    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/14

TEHRAN (IQNA)- Rais Bashar la Assad wa Syria leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif mjini Damascus ambapo wamejadili masuala mbalimbali ya pande mbili, kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3472683    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20